Tuesday, 30 December 2014
Muslims Join Christians for Christmas Celebrations in Gaza
ore Muslims in Gaza are joining in Christmas festivities as an occasion to solidify unity and forget the recent war with Israel.
A Palestinian shopkeeper decorates his window display with Father Christmas hats in Gaza on December 24, 2014.
A shopkeeper decorates his window display in Gaza on Christmas Eve.
Dec. 29, 2014 | 1:40 p.m. EST + More
GAZA CITY, Gaza Strip — Happily jumping around, Ilaa, 3, drops a couple of Christmas ornaments on the floor of Hadayana gift shop in Gaza's al-Wahda neighborhood. Finally, she chooses the silver ornaments. Her mother, Bissan al-Qishawi, laughs at her daughter’s clumsiness as she helps her pick up the balls and Santa’s chocolates that scattered on the floor.
[READ: Hamas Bars Gaza Children From Israel Trip]
“We have a Christmas tree that I bought years back. We are buying new ornaments. All I wish for is to raise my daughter to be loving and tolerant. This is why we are celebrating the occasion with Christians,” Qishawi, a Muslim, told Al-Monitor on Christmas eve.
Qishawi’s two daughters, Ilaa and Salma, wake up the following morning to their gifts under the tree. “I want them to forget the gloominess of war and its traumatic memory,” she said.
The Qishawis are not an exception. Many Muslim families in Gaza celebrate Christmas. Umm Fawzi, for example, who did not want to give her real name, bought a $90 tree. She told Al-Monitor, “I wanted to bring joy to my four kids and forget the woes of this year and the memories of war. At the end of the month I make sweets and my husband and I light up the tree. We are all very excited because the tree is big this year.” Umm Fawzi knows how important it is for children who grew up amid war and division to be raised to love all Palestinians, Muslim and Christian alike, and to celebrate all holidays.
A tiger cub named Jangbori, left, and a lion cub named Dominjun wear Santa Claus caps at the Everland amusement park in Yongin, South Korea, on Dec. 23.
See Photos
Christmas Around the World
Saleh Murtaja, the owner of Hadayana gift shop, said he has sold many Christmas trees to both Christians and Muslims this year. “Veiled women come along with their children, as well as Christian families. They all buy ornaments, trees and bells. However, sales turnover has been lower this year.”
Murtaja remembers how nine years ago his father grew Cupressus trees, but today, Christmas trees are mostly plastic and imported from China and Israel.
In Gaza's al-Zaitoun neighborhood stands the Catholic Church of the Latin Convent. Preparations were underway early in the morning of Dec. 24.
Inside, the church teemed with warmth, roses, candles and incense, and Sister Maria was assorting red and white roses. She told Al-Monitor that the saddest thing about this Christmas was that people were thinking about leaving the Gaza Strip following the dire war.
Father Mario Da Silva told Al-Monitor, “Christmas is a moment of happiness, a time to forget about war, a time for peace. The lord of peace was born on this day. It is the night to wish for peace on this planet.”
“This Christmas,” he said, “should bring about change in our hearts. It is not just another holiday, but rather an event that is renewed to change the world. I can be happy during suffering and war because happiness is an inside job.”
Da Silva, who witnessed the last war, said that his parish had stood at 133 members but now only 120 members are left after three families moved out of the Gaza Strip for good.
Rosette Khristo, 72, was dressed in a black coat and had little to celebrate this Christmas. Trying to shield herself from the freezing weather, she buttoned it all up. “There are no festivities, no happiness and my heart is weary. The last war left us with nothing. The most terrifying thing is the news that [war] may erupt again,” she said.
Khristo refused her daughter’s persistent demands to come live with her in Canada. “There is no place in the world like Gaza. I love Gaza and I will never leave it. I will not go to Canada and spend the rest of my life on a balcony wishing that someone might drop by and say hello.”
[ALSO: U.S. Tiptoes Around U.N. Palestinian Resolution]
In the front square of the church, Salam Najjar, 16, and Dalia Abu Nusaira, 17, are loudly engaging in friendly girl talk. Dalia is discussing her new clothes while Salam is expressing her satisfaction with her hairdo.
They were surprised when Al-Monitor inquired about their impressions. They said they were happy and wished that festivities would be seen on the streets and not only within the confines of the church. They both noted the increased number of Muslims celebrating Christmas.
13 surprising things that happened on Christmas Day
By AdelmorBlog
December 25, 2014 | 6:51am

Washington crossed the Delaware on Christmas Day, 1776.
1066: William the Conqueror crowned King of England. The leader of the Norman invaders took the throne in Westminster Abbey. Ever since, no one word has conveyed the idea of strength quite like “Norman.”
1977: Charlie Chaplin dies. In the 1920s, the actor-director had been so popular an entertainer that even imitation Little Tramps like Billy West achieved success. After Chaplin’s Christmas Day death, at age 88, he made headlines about two months later when grave robbers stole his casket and demanded ransom for its return. 1868: Pardoning Confederate soldiers. Three years after the Civil War ended, Lincoln’s vice president and Oval Office successor Andrew Johnson gave a blanket pardon to anyone who had fought for the Stars and Bars.
1899: Humphrey Bogart born. Imagine how confused his parents must have been when li’l Humphrey emerged from the birth canal exclaiming, “Can the oohing and aahing, will ya? What are you, a buncha saps?
1989: Ceausescu executed. Amid the largely bloodless revolutions of Eastern European states freeing themselves from Communist rule in 1989, one gory exception was the hasty Christmas Day court-martial, conviction and execution of Romanian dictator Nicolae Ceausescu and his wife Elena. On his way to the execution, Ceausescu sang the Communist anthem “The Internationale.”
336: Christmas first celebrated. The Romans marked the birth of Jesus Christ on this day in what is thought to be the first Christmas celebration, after Emperor Constantine I had declared Christianity the preferred religion of the empire. Up to that point, celebrating birthdays was less common than observing the day of baptism. Eastern Christians continued to observe Jan. 6 as Christmas.
1989: Billy Martin dies. The glory-days second baseman for the New York Yankees, who went on to manage the team in five separate stints, died as a passenger in an automobile accident near his farm outside Binghamton, NY.
1990: Test-driving the quasi-Internet. The first Web page, on the first Web server, using the first Web browser, got its first hit when British software consultant Tim Berners-Lee (right) tried out his new system for linking computers. Berners-Lee spent 1991 flying around the world trying to convince people to link to Web browsers. 1962: “To Kill a Mockingbird” released. The beloved Gregory Peck drama is among dozens of famous movies released on Christmas Day. Among them: “Catch Me if You Can,” “Les Misérables,” “The Sting” and “The Godfather: Part III.”
1991: Gorbachev quits. On this day, Gorby stepped down, the Russian flag replaced the hammer and sickle over the Kremlin, and the USSR was no more.
1995: Dean Martin dies. Rat Packer, singer, comedian, actor and host of the ring-a-ding Dean Martin Celebrity Roast, Martin died at 78 after battling lung cancer and emphysema.
1776: Washington crosses the Delaware. Starting at about 6 p.m. on Christmas Night and lasting until 3 the next morning, the general led 2,400 bedraggled troops and cannons across the river from Pennsylvania at McConkey’s Ferry, beginning a weeklong series of attacks that would culminate in thrilling victories in Trenton and Princeton in the New Year.
1950: Karl Rove born. Focus-group research told him it was an astute move to enter the world on Christmas.
Modal Trigger
Karl Rove, born on Christmas Day, 1950.
Monday, 22 December 2014
North Korea has threatened more attacks against the U.S.
North
Korea has threatened more attacks against the U.S. government and other
American institutions in the wake of the hack on Sony which cancelled
the release of The Interview.
The government - which was outraged by the film showing the assassination of leader Kim Jong Un - also claimed to have 'clear evidence' that the U.S. government engineered the project as a 'propaganda' attack against North Korea.
In a ranting post published by the state news agency KCNA, Korean authorities hit back in an escalating war of words in which they say they will 'blow up' the White House - while bizarrely continuing to deny they have anything to do with the cyber attacks on Sony.
Referring to the United States as a 'cesspool of terrorism', the communist dictatorship said that it has already lashed out at the 'citadels of the U.S. imperialists', naming the White House and Pentagon in particular.
A release, translated from Korean, said: 'The DPRK [North Korea] has already launched the toughest counteraction.
'Nothing is a more serious miscalculation than guessing that just a single movie production company is the target of this counteraction.'
'Our target is all the citadels of the U.S. imperialists who earned the bitterest grudge of all Koreans.
'The army and people of the DPRK are fully ready to stand in confrontation with the U.S. in all war spaces including cyber warfare space to blow up those citadels.'
But
despite its bellicose language, the state continued to deny it had
anything to do with the original hack, for which a group calling
themselves the Guardians of Peace has claimed credit.
North Korea called the hack a 'righteous deed' - and reiterated that it 'highly esteems' the attack - but said it had no idea where it came from.
FBI officials have explicitly linked the attack to the Korean regime, saying that technical details from the hack have Korean hallmarks.
But Kim Jong Un's officials responded by calling FBI claims a 'fabrication', and describing U.S. actions as 'gangster-like'.
According to the post, the North Korean government is also convinced that directors Seth Rogen and Evan Goldberg were under direct instruction from U.S. officials, who told them to include extra scenes to 'insult the dignity' of North Korea.
They said: 'It is said that the movie was conceived and produced according to the 'guidelines' of the U.S. authorities who contended that such movies hurting the dignity of the DPRK supreme leadership and inciting terrorism against it would be used in an effective way as "propaganda against north Korea".
'The U.S. Department of State's special human rights envoy went the lengths of urging the movie makers to keep all scenes insulting the dignity of the DPRK supreme leadership in the movie, saying it is needed to "vex the north Korean government".
'The facts glaringly show that the U.S. is the chief culprit of terrorism as it has loudly called for combating terrorism everywhere in the world but schemed behind the scene to produce and distribute movies inciting it in various countries of the world.'
Sony cancelled The Interview's slated December 25 release last week after the hackers threatened real-world attacks on cinemas screening it.
The vast majority of cinema chains which were set to screen the movie pulled it after the threats.
President Obama later said Sony had made a mistake in cancelling the movie, and that he would have intervened to make sure it went ahead.
In an interview with CNN, he said: 'If we set a precedent in which a dictator in another country can disrupt, through cyber, you know, a company's distribution chain or its products and, as a consequence, we start censoring ourselves, that's a problem.'
However, he also sought to downplay the overall significance of the spat, calling it 'cyber vandalism', while North Korea has repeatedly called the making of the film 'an act of war'.
The government - which was outraged by the film showing the assassination of leader Kim Jong Un - also claimed to have 'clear evidence' that the U.S. government engineered the project as a 'propaganda' attack against North Korea.
In a ranting post published by the state news agency KCNA, Korean authorities hit back in an escalating war of words in which they say they will 'blow up' the White House - while bizarrely continuing to deny they have anything to do with the cyber attacks on Sony.
Referring to the United States as a 'cesspool of terrorism', the communist dictatorship said that it has already lashed out at the 'citadels of the U.S. imperialists', naming the White House and Pentagon in particular.
A release, translated from Korean, said: 'The DPRK [North Korea] has already launched the toughest counteraction.
'Nothing is a more serious miscalculation than guessing that just a single movie production company is the target of this counteraction.'
'Our target is all the citadels of the U.S. imperialists who earned the bitterest grudge of all Koreans.
'The army and people of the DPRK are fully ready to stand in confrontation with the U.S. in all war spaces including cyber warfare space to blow up those citadels.'
North Korea called the hack a 'righteous deed' - and reiterated that it 'highly esteems' the attack - but said it had no idea where it came from.
FBI officials have explicitly linked the attack to the Korean regime, saying that technical details from the hack have Korean hallmarks.
But Kim Jong Un's officials responded by calling FBI claims a 'fabrication', and describing U.S. actions as 'gangster-like'.
According to the post, the North Korean government is also convinced that directors Seth Rogen and Evan Goldberg were under direct instruction from U.S. officials, who told them to include extra scenes to 'insult the dignity' of North Korea.
They said: 'It is said that the movie was conceived and produced according to the 'guidelines' of the U.S. authorities who contended that such movies hurting the dignity of the DPRK supreme leadership and inciting terrorism against it would be used in an effective way as "propaganda against north Korea".
'The U.S. Department of State's special human rights envoy went the lengths of urging the movie makers to keep all scenes insulting the dignity of the DPRK supreme leadership in the movie, saying it is needed to "vex the north Korean government".
'The facts glaringly show that the U.S. is the chief culprit of terrorism as it has loudly called for combating terrorism everywhere in the world but schemed behind the scene to produce and distribute movies inciting it in various countries of the world.'
Sony cancelled The Interview's slated December 25 release last week after the hackers threatened real-world attacks on cinemas screening it.
The vast majority of cinema chains which were set to screen the movie pulled it after the threats.
President Obama later said Sony had made a mistake in cancelling the movie, and that he would have intervened to make sure it went ahead.
In an interview with CNN, he said: 'If we set a precedent in which a dictator in another country can disrupt, through cyber, you know, a company's distribution chain or its products and, as a consequence, we start censoring ourselves, that's a problem.'
However, he also sought to downplay the overall significance of the spat, calling it 'cyber vandalism', while North Korea has repeatedly called the making of the film 'an act of war'.
Kilichojiri Katika Maongezi ya Rais Kikwete na Wazee wa Dar: Uteuzi wa Tibaijuka watenguliwa
Watu wanasimama ukumbini, ishara ya raisi
na mama Salma kuingia ukumbini. Anaketi meza kuu na viongozi wengine na
watu wengine wanaketi.
Anakaribishwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam kuongea machache na kumkaribisha rais Jakaya Kikwete. Anaitambulisha kamati ya amani mkoa wa Dar es Salaam inayoundwa na masheikh na mapadri. Anampa pole na maswahibu yalimpata kuhusu ugonjwa wake. Mkuu wa mkoa anafikisha ujumbe kuwa wazee wa Dar es Salaam wamemwomba aende akapumzike Msoga mpaka msimu wa sikukuu utapoisha. Anasema Dar es Salaam wamejenga maabara 135 zilizokamilika. Uchaguzi serikali za mitaa mkoa wa Dar es Salaam, Viti maalum chama cha mapinduzi wamepata asilimia 74, CHADEMA 15% CUF 11% NCCR 0.1%
Mitaa CCM 78% CHADEMA 13% CUF 9% NCCR 0.1%. Wenyeviti wa mitaa CCM 72% CHADEMA 15% CUF13%
Wastani CCM 75% CHADEMA 15% CUF 11%
============================== =====

Kikwete: Naendelea kuimarika kila siku japo sipo fit kabisa. Leo nazungumzia uchaguzi wa serikali za mitaa, umeenda vizuri ukiacha maeneo machache. Ni uthibibitisho wa kuendelea na kukomaa kwa demokrasia na natoa pongezi kwa walioshinda na wakae chini kupanga mikakati ya kuongoza maeneo yao. Katika taarifa ya waziri Ghasia alielezea kasoro zilizojitokeza na aliahidi kuchukua hatua. Nieleze furaha yangu kwa Hawa Ghasia juu ya hatua alizochukua na mimi nikaweka ridhaa yangu, lazima watumishi wajue kuna adhabu ya makosa wanayoyafanya, kuwawajibisha itakua fundisho kwao na kwa wengine wawe makini kwenye uchaguzi wa 2015.
Jambo la pili ni sakata la Tegeta escrow, wakati wa bunge la bajeti kulitokea madai kuwa fedha za escrow zilizokuwa benki kuu zimechotwa kinyemela na PAP kwa kushirikiana na viongozi wa serikali. Serikali iliahidi kutekeleza kwa kupitia kwa CAG kufanya ukaguzi ambayo ilisomwa bungeni pia niliagiza kuchapishwa kwenye magazeti na tovuti ya serikali, TAKUKURU wanaendelea na uchunguzi wao, taarifa yao ni kuwaona mahakamani, hawana ya maelezo. Tarehe 8 Desemba nilipoanza kazi, niliyasoma na kutoa maagizo, zipo taarifa nilizozipata japo sio zote, lakini nilisema siwezi kusubiri sana. Katika kusoma makaratasi na kupewa maelekezo, yapo mambo manne mikataba ya umeme, umiliki wa PAP, kodi ya serikali na tuhuma za rushwa.
Mikataba ya kununua umeme unaozalishwa na makampuni binafsi, mikataba ya umeme iko ya namna mbili tozo ya umeme ikiwa ni malipo ya umeme uliotumiwa kulingana na bei waliyokubaliana na ya pili ni gharama ya uwekezaji(capacty charge) kwa Songas, Aggreko, IPTL
Anaelezea historia ya mgogoro wa TANESCO na IPTL, TANESCO na IPTL walikubaliana kuanzisha akaunti ya Tegeta escrow benki kuu na kuingia mkataba, wizara ya madini kwa niaba ya TANESCO na IPTL na benki kuu kama wakala. Masharti ilikua kampuni ya IPTL itaendelea kupeleka madai yake TANESCO ya tozo ya uwekezaji na TANESCO itaendelea kulipa lakini yataenda escrow akaunti badala ya IPTL lakini ya umeme yaliendelea kwenda IPTL na ilifunguliwa 2006 na mpaka kesi kuamuliwa 2013 wakati IPTL inachukuliwa na PAP walikua hawajamalizana. (They decided to manage the crisis rather than resolve it)
Kwa mujibu wa mkataba, TANESCO isipolipa inatozwa riba ya 2%, kwa mujibu wa taarifa akaunti ilikua na 202.9 bilioni na sio 309.7, hizi zilipaswa kuwepo endapo TANESCO ingelipa zote kwa wakati.
Fedha hizi mwenyewe nani, umma au IPTL
Nianze kuelezea ya Escrow ni kitu gani, ni tofauti kidogo na akauti zetu tatu tulizozizoea, na akauti maalumu na kazi maalumu pia ikiisha na yenyewe inafungwa, inasimamia na wakala na wakala pia anajukumu la kumlipa mwenye fedha wakati ukifika.
Akaunti ikafunguliwa BoT kwa ajili ya kuweka tozo ya uwekezaji, zinahifadhiwa ili kutoa nafasi kwa pande mbili kushughulikia tofauti zao lakini kabla ya hapo TANESCO walikua wanalipa moja kwa moja.
Kimsingi fedha hizi ni za IPTL, katika swali pesa za nani, mdhibiti wa hesabu alisema humu yawezekana zipo za umma pia zipo za IPTL, Nilipomuuliza maana, akasema zamani walikua wanalipa moja kwa moja lakini baada ya mzozo walikubaliana kwanza waziweke BoT.
Kama mgogoro ungetatuliwa na madai ya TANESCO yakakubali ya tozo kupunguzwa, kiasi kilichopunguzwa kuna pesa za TANESCO ambazo lazima zirudi kwa kiasi kilichopunguzwa. Bahati mbaya miaka saba baadae halikuwa limefanyika.
Kama katika fedha hizo ipo kodi ya serikali, kwa mujibu kulikua na kodi ya ongezeko la thamani ambayo haikulipwa, IPTL hawakuilipa na uthamini ulikua bilioni 21 na ushee, TRA imepeleka madai yake kwa PAP.
CAG aliwaelekeza TANESCO kuacha kuhesabu pesa walizolipa kwenye akaunti ya escrow kama pesa zao, pesa hazikufikia sifa kuhesabika kama mali ya TANESCO(Asset). Mahakama kuu ya Tanzania ilifanya uamuzi katika shauri la maombi ya VIP, kusimamisha mchakato wa ufilisi wa IPTL na mahakama ikakubali.
Mfilisi aliagizwa kuhamisha kwa PAP kutoka IPTL ikiwemo akaunti escrow, ilizua mjadala mkali. Wizara ya nishati ilimwandikia mwanasheria mkuu kuomba ushauri, Mwanasheria akasema lipeni, uamuzi uko sawa na hauna matatizo na benki kuu wakauliza maswali hayo hayo na majibu yakawa yaleyale. Kuzingatia ushauri huo akaunti ikafungwa na pesa kukabidhiwa PAP. Mjadala ukaendelea bunguni na kwenye mablogu.
Na hata TANESCO alipewa ushauri huo huo, uamuzi ule umetiliwa shaka na kuonekana haukuwa sahihi na umeitia hasara nchi. Ukaibua hisia na ni kwa sababu nzuri tu kwamba si bure na iko namna kama ya rushwa na watu kunufaika binafsi. Mara kuna watu wameenda benki na kubeba pesa kwenye sandarusi, lumbesa na mengineyo.
Jambo moja ambalo ni bahati mbaya, ilijengeka dhana kuwa akaunti kufungwa ni jambo lililoanzishwa na maafisa wa serikali kwa manufaa yao binafsi.
Nilipokutana na mwanasheria mkuu, alisema hakukosea katika ushauri wake na wala mahakama haikufanya makosa,
Na kuhusu ile hasara amesema hakuna hasara yyte iliyopatikana kwa sababu pesa imelipwa kwa mtu halali.
Kabla ya mzozo wa ukokotoaji TANESCO ilikuwa inailipa ITPL Moja kwa moja. Lakini hata ulipotokea mzozo bado IPTL haikuacha kupeleka madai na Tanesco haikuacha kulipa. Kuwepo kwa akaunti ya escrow haibadili mwenye fedha yake.
Kwa upande wa kodi ya serikali ambazo hazikulipwa, AG alipoulizwa alisema hakuna kodi iliyochelewa kulipwa.
Mgogoro ni baina ya IPTL na TANESCO havyo uamuzi wa standard charted haukuweza kuingia, kwa vile haikuhusishwa, ilienda kuzuia maamuzi hayo.
Fedha zilizotoka imelipwa PAP, akitokea mtu ana madai, serikali mnaikinga vipi. Ingetokea mtu ana madai yoyote angepelekwa PAP kulingana na makubaliano. Kukawa kuna hoja kuwa hata PAP umiliki wake wa hisa 70% unatia mashaka kutoka Mechmar, lakini waliziuza kwanza kwa kampuni ya Uingereza ambayo yenyewe ndo ikaziuza PAP. Kampuni ilikua chini ya ufilisi na kwa mujibu wa taratibu huwezi kuuza ukiwa chini ya ufilisi, kwa mujibu wa taarifa sio kweli.
Tulitaka kufanya uchunguzi sisi wenyewe na mamlaka zetu na taarifa zimeshakuja, tunazifanyia kazi.
Kuna vitu vimetokea, kuna vilivyofanyika nje na taarifa hazikuja na sasa tunalaumiana, hivyo tunafanya uchunguzi na wote waliohusuka tunawahoji na mahakama kuu ipo kesi ya PAP kumiliki hisa za IPTL, ipo kesi ya uhalali wa PAP kupokea pesa za IPTL. Hatutaki kuwaingilia ila sisi tutafanya uchunguzi wetu kwa ajili ya taarifa zetu. Tuwe na uhakika hizi hisa zimeuzwa kwa bei gani, tunataka kujiridhisha kwa sababu ipo kodi ya serikali(capital gain) na inalipwa na alieuza na sio alieuziwa. Kodi hulipwa na aliepata na sio aliepoteza(Alienunua).
VIP walipouza na kupata dola milioni 78, wamelipa kodi bilioni 38. Kulikua na tuhuma za rushwa katika mchakato mzima. Yamesemwa mengi na bado hatujamaliza kuyasoma, rushwa ni kosa la jinai. Nilielekeza taarifa walizozipata wazipeleke PCCB. Nimeambiwa wanaendelea na mchakato wao. Kwa miamala, serikali inashughulika na watumishi wa umma kwa mujibu wa taratibu, maaskofu na masheikh kupewa kitu hawatuhusu, mtumishi wa umma ana masharti ya kupokea fedha. Watahojiwa na PCCB.
Hushtuki asubuhi akaunti ina bilioni 1.6, milioni 80 etc. Zimeanguka kutoka juu ya mti. Huo ndo utanguliza.
Maazimio ya bunge
Kwanza niseme serikali imayakubali na niwapongeze waheshimiwa wabunge. Nashukuru kamati ya bunge chini ya Zitto na Filikunjombe, watu wa upinzani kufanya yale maamuzi yao, kwamba CCM ni mafisadi. Ni kweli watu hawa wanatoka CCM ila sio kwamba CCM inaridhia. Ntashangaa mbunge kulipinga hili eti kisa tu yuko CCM, bunge wengi ni CCM, kama ni kweli walikuwa hawataki hakuna azimio lingepita? Na kuna baadhi ya wabunge wa CCM waliudhika na maovu haya, wenzetu wanatafuta sifa laini kwa jambo ambalo ni letu sote.
Niwahakikishie mimi na wenzangu serikalini hatuna upungufu wa dhamira katika kutimiza maazimio ya bunge.
Kutaifisha mitambo ya IPTL, tunahimiza sekta binafsi kuwekeza, tunapotaifisha habari tunayopeleka si nzuri, sisi tuliotaifisha mwanzo siku hizi tunasema hatuna sera ya ujamaa hivyo waje kuwekeza. Watasema wale jamaa wamerudia tena wanataifisha. Mahakama imefanya maamuzi kwa IPTL, kwanza waibadili mitambo yao ibadili itumie gas badala ya mafuta, tukiyafatilia yanaweza kutufikisha mahali. Haya ya kutaifisha yananipa wasiwasi
Kuhusu uwazi wa mikataba na mapitio, tutafanya na lipo moja tutafanya kuhusu usiri wao wa biashara, kuweka wazi zinaweza kutumiwa na wapinzani wa kibiashara, hivyo tutaangalia namna ya kulifanya.
TAKUKURU na jeshi la usalama vichukue hatua, nimeshaeleza hatua zinaendelea.
Kamati za bunge kuwavua nyadhifa wenyeviti wa kamati za bunge
Raisi aunde tume ya kijaji kuwachunguza majaji(Mujulizi na Lwangisa), nimelipokea lakini utaratibu wa kisheria kushughulikia linatakiwa lianzie kwenye mahakama na sio linaanzia kwa rais au bunge. Mahakama inaporidhika amepoteza sifa, inaletwa kwa rais maana ndie anaeteua majaji. Lazima kushirikiana na muhumili wenyewe. Nilichosema tumwachie jaji mkuu na wakiridhika watakuja kwa raisi endapo wataridhika wahusika wamekosa sifa.
Kuhusu mabenki kuwekwa kama zinatakatisha fedha, pendekezo uchunguzi ufanyike ni pendekezo zuri na intelligence unit ndio watakaofatilia
Serikali iandae muswada wa sheria ulioleta TAKUKURU, ni wazo zuri, Mchakato wa kufanya mageuzi TAKUKURU tumeuanza tangu 2008. Sheria ya kwanza ya PCCB ilikua na makosa manne tu ya rushwa tukayaongeza mpaka 24.
Kuhusu watu kuwawajibisha, bodi ya TANESCO bahati nzuri imemaliza muda wake na tumeanza mchakato wa bodi, na tutaipata siku chache zijazo.
Katibu mkuu wa wizara ni mtumishi wa umma, hivyo kuna taratibu na nimeshaagiza zianze.
Mwanasheria mkuu wa serikali ameshajiuzulu na amesema amebeba dhamana hio pia kwa niaba ya waliojiuzulu.
Waziri wa ardhi, tumekaa nae na kuzungumza. Pesa hizi ni za nini na kwa ajili gani na amesema ni za shule, mengi yameelezwa. Maswali makubwa kwa nini hazijaenda shuleni moja kwa moja na zikawa kwa jina lake, akasema ndo masharti ya mtoaji, tumelitafakari sana na tumeona msingi mkubwa wa kimaadili kuhusu kupokea hizi pesa, tumeshazungumza nae na tumemwambia atupe nafasi tumteue mwingine.
Waziri wa nishati na madini tumemuweka kiporo, kuna uchunguzi nimeagiza ufanywe na nikipata majibu nitafanya uamuzi, tume ya maadili pia wanafanya kwa ajili ya kupata maamuzi kwa misingi ya haki.
NDIO MWANZO NA MWISHO WA HOTUBA YANGU NDEFU
==============
Baada ya Shughuli Maalum ya Rais Kikwete na Waandishi wa Habari, ataelekea kwenye Ukumbi wa The Aga Khan Dimond Jubilee Hall. Kwenye huu ukumbi Diamond maandalizi yanaendelea na Wazee wanaendelea kuingia. Ulinzi ni Mkali kwani kila Mzee anakaguliwa. Waandishi wa habari wapo wanaendela kuset Mitambo.
Hili ni gari la Matangazo ya TBC1wakiendelea kufunga mitambo yao, hii inamaanisha habari itarushwa moja kwa moja.
Wazee wakiwa wamepanga foleni tayari kwa kuingia Ukumbini. Kule mbele kwenye alama Nyeupe ni sehemu ya ukaguzi. Unakaguliwa kabla ya kwenda kuketi.
Hii ni moja ya Vipeperushi vya Ukumbini. Vilevile vipeperushi hivi vimegawiwa Kwa Watu walio hudhulia.
Muhongo ndani ya nyumba
Wazee wakiwa wanamsubiria Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Tutaendelea kujuzana hapa hapa JamiiForums kinachojiri Kwenye huu ukumbi wa Diamond. Rais anatarajiwa kuingia ukumbini saa Kumi kamili Alasiri.
TBC1 ipo hewani live sasa
Anakaribishwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam kuongea machache na kumkaribisha rais Jakaya Kikwete. Anaitambulisha kamati ya amani mkoa wa Dar es Salaam inayoundwa na masheikh na mapadri. Anampa pole na maswahibu yalimpata kuhusu ugonjwa wake. Mkuu wa mkoa anafikisha ujumbe kuwa wazee wa Dar es Salaam wamemwomba aende akapumzike Msoga mpaka msimu wa sikukuu utapoisha. Anasema Dar es Salaam wamejenga maabara 135 zilizokamilika. Uchaguzi serikali za mitaa mkoa wa Dar es Salaam, Viti maalum chama cha mapinduzi wamepata asilimia 74, CHADEMA 15% CUF 11% NCCR 0.1%
Mitaa CCM 78% CHADEMA 13% CUF 9% NCCR 0.1%. Wenyeviti wa mitaa CCM 72% CHADEMA 15% CUF13%
Wastani CCM 75% CHADEMA 15% CUF 11%
============================== =====
Kikwete: Naendelea kuimarika kila siku japo sipo fit kabisa. Leo nazungumzia uchaguzi wa serikali za mitaa, umeenda vizuri ukiacha maeneo machache. Ni uthibibitisho wa kuendelea na kukomaa kwa demokrasia na natoa pongezi kwa walioshinda na wakae chini kupanga mikakati ya kuongoza maeneo yao. Katika taarifa ya waziri Ghasia alielezea kasoro zilizojitokeza na aliahidi kuchukua hatua. Nieleze furaha yangu kwa Hawa Ghasia juu ya hatua alizochukua na mimi nikaweka ridhaa yangu, lazima watumishi wajue kuna adhabu ya makosa wanayoyafanya, kuwawajibisha itakua fundisho kwao na kwa wengine wawe makini kwenye uchaguzi wa 2015.
Jambo la pili ni sakata la Tegeta escrow, wakati wa bunge la bajeti kulitokea madai kuwa fedha za escrow zilizokuwa benki kuu zimechotwa kinyemela na PAP kwa kushirikiana na viongozi wa serikali. Serikali iliahidi kutekeleza kwa kupitia kwa CAG kufanya ukaguzi ambayo ilisomwa bungeni pia niliagiza kuchapishwa kwenye magazeti na tovuti ya serikali, TAKUKURU wanaendelea na uchunguzi wao, taarifa yao ni kuwaona mahakamani, hawana ya maelezo. Tarehe 8 Desemba nilipoanza kazi, niliyasoma na kutoa maagizo, zipo taarifa nilizozipata japo sio zote, lakini nilisema siwezi kusubiri sana. Katika kusoma makaratasi na kupewa maelekezo, yapo mambo manne mikataba ya umeme, umiliki wa PAP, kodi ya serikali na tuhuma za rushwa.
Mikataba ya kununua umeme unaozalishwa na makampuni binafsi, mikataba ya umeme iko ya namna mbili tozo ya umeme ikiwa ni malipo ya umeme uliotumiwa kulingana na bei waliyokubaliana na ya pili ni gharama ya uwekezaji(capacty charge) kwa Songas, Aggreko, IPTL
Anaelezea historia ya mgogoro wa TANESCO na IPTL, TANESCO na IPTL walikubaliana kuanzisha akaunti ya Tegeta escrow benki kuu na kuingia mkataba, wizara ya madini kwa niaba ya TANESCO na IPTL na benki kuu kama wakala. Masharti ilikua kampuni ya IPTL itaendelea kupeleka madai yake TANESCO ya tozo ya uwekezaji na TANESCO itaendelea kulipa lakini yataenda escrow akaunti badala ya IPTL lakini ya umeme yaliendelea kwenda IPTL na ilifunguliwa 2006 na mpaka kesi kuamuliwa 2013 wakati IPTL inachukuliwa na PAP walikua hawajamalizana. (They decided to manage the crisis rather than resolve it)
Kwa mujibu wa mkataba, TANESCO isipolipa inatozwa riba ya 2%, kwa mujibu wa taarifa akaunti ilikua na 202.9 bilioni na sio 309.7, hizi zilipaswa kuwepo endapo TANESCO ingelipa zote kwa wakati.
Fedha hizi mwenyewe nani, umma au IPTL
Nianze kuelezea ya Escrow ni kitu gani, ni tofauti kidogo na akauti zetu tatu tulizozizoea, na akauti maalumu na kazi maalumu pia ikiisha na yenyewe inafungwa, inasimamia na wakala na wakala pia anajukumu la kumlipa mwenye fedha wakati ukifika.
Akaunti ikafunguliwa BoT kwa ajili ya kuweka tozo ya uwekezaji, zinahifadhiwa ili kutoa nafasi kwa pande mbili kushughulikia tofauti zao lakini kabla ya hapo TANESCO walikua wanalipa moja kwa moja.
Kimsingi fedha hizi ni za IPTL, katika swali pesa za nani, mdhibiti wa hesabu alisema humu yawezekana zipo za umma pia zipo za IPTL, Nilipomuuliza maana, akasema zamani walikua wanalipa moja kwa moja lakini baada ya mzozo walikubaliana kwanza waziweke BoT.
Kama mgogoro ungetatuliwa na madai ya TANESCO yakakubali ya tozo kupunguzwa, kiasi kilichopunguzwa kuna pesa za TANESCO ambazo lazima zirudi kwa kiasi kilichopunguzwa. Bahati mbaya miaka saba baadae halikuwa limefanyika.
Kama katika fedha hizo ipo kodi ya serikali, kwa mujibu kulikua na kodi ya ongezeko la thamani ambayo haikulipwa, IPTL hawakuilipa na uthamini ulikua bilioni 21 na ushee, TRA imepeleka madai yake kwa PAP.
CAG aliwaelekeza TANESCO kuacha kuhesabu pesa walizolipa kwenye akaunti ya escrow kama pesa zao, pesa hazikufikia sifa kuhesabika kama mali ya TANESCO(Asset). Mahakama kuu ya Tanzania ilifanya uamuzi katika shauri la maombi ya VIP, kusimamisha mchakato wa ufilisi wa IPTL na mahakama ikakubali.
Mfilisi aliagizwa kuhamisha kwa PAP kutoka IPTL ikiwemo akaunti escrow, ilizua mjadala mkali. Wizara ya nishati ilimwandikia mwanasheria mkuu kuomba ushauri, Mwanasheria akasema lipeni, uamuzi uko sawa na hauna matatizo na benki kuu wakauliza maswali hayo hayo na majibu yakawa yaleyale. Kuzingatia ushauri huo akaunti ikafungwa na pesa kukabidhiwa PAP. Mjadala ukaendelea bunguni na kwenye mablogu.
Na hata TANESCO alipewa ushauri huo huo, uamuzi ule umetiliwa shaka na kuonekana haukuwa sahihi na umeitia hasara nchi. Ukaibua hisia na ni kwa sababu nzuri tu kwamba si bure na iko namna kama ya rushwa na watu kunufaika binafsi. Mara kuna watu wameenda benki na kubeba pesa kwenye sandarusi, lumbesa na mengineyo.
Jambo moja ambalo ni bahati mbaya, ilijengeka dhana kuwa akaunti kufungwa ni jambo lililoanzishwa na maafisa wa serikali kwa manufaa yao binafsi.
Nilipokutana na mwanasheria mkuu, alisema hakukosea katika ushauri wake na wala mahakama haikufanya makosa,
Na kuhusu ile hasara amesema hakuna hasara yyte iliyopatikana kwa sababu pesa imelipwa kwa mtu halali.
Kabla ya mzozo wa ukokotoaji TANESCO ilikuwa inailipa ITPL Moja kwa moja. Lakini hata ulipotokea mzozo bado IPTL haikuacha kupeleka madai na Tanesco haikuacha kulipa. Kuwepo kwa akaunti ya escrow haibadili mwenye fedha yake.
Kwa upande wa kodi ya serikali ambazo hazikulipwa, AG alipoulizwa alisema hakuna kodi iliyochelewa kulipwa.
Mgogoro ni baina ya IPTL na TANESCO havyo uamuzi wa standard charted haukuweza kuingia, kwa vile haikuhusishwa, ilienda kuzuia maamuzi hayo.
Fedha zilizotoka imelipwa PAP, akitokea mtu ana madai, serikali mnaikinga vipi. Ingetokea mtu ana madai yoyote angepelekwa PAP kulingana na makubaliano. Kukawa kuna hoja kuwa hata PAP umiliki wake wa hisa 70% unatia mashaka kutoka Mechmar, lakini waliziuza kwanza kwa kampuni ya Uingereza ambayo yenyewe ndo ikaziuza PAP. Kampuni ilikua chini ya ufilisi na kwa mujibu wa taratibu huwezi kuuza ukiwa chini ya ufilisi, kwa mujibu wa taarifa sio kweli.
Tulitaka kufanya uchunguzi sisi wenyewe na mamlaka zetu na taarifa zimeshakuja, tunazifanyia kazi.
Kuna vitu vimetokea, kuna vilivyofanyika nje na taarifa hazikuja na sasa tunalaumiana, hivyo tunafanya uchunguzi na wote waliohusuka tunawahoji na mahakama kuu ipo kesi ya PAP kumiliki hisa za IPTL, ipo kesi ya uhalali wa PAP kupokea pesa za IPTL. Hatutaki kuwaingilia ila sisi tutafanya uchunguzi wetu kwa ajili ya taarifa zetu. Tuwe na uhakika hizi hisa zimeuzwa kwa bei gani, tunataka kujiridhisha kwa sababu ipo kodi ya serikali(capital gain) na inalipwa na alieuza na sio alieuziwa. Kodi hulipwa na aliepata na sio aliepoteza(Alienunua).
VIP walipouza na kupata dola milioni 78, wamelipa kodi bilioni 38. Kulikua na tuhuma za rushwa katika mchakato mzima. Yamesemwa mengi na bado hatujamaliza kuyasoma, rushwa ni kosa la jinai. Nilielekeza taarifa walizozipata wazipeleke PCCB. Nimeambiwa wanaendelea na mchakato wao. Kwa miamala, serikali inashughulika na watumishi wa umma kwa mujibu wa taratibu, maaskofu na masheikh kupewa kitu hawatuhusu, mtumishi wa umma ana masharti ya kupokea fedha. Watahojiwa na PCCB.
Hushtuki asubuhi akaunti ina bilioni 1.6, milioni 80 etc. Zimeanguka kutoka juu ya mti. Huo ndo utanguliza.
Maazimio ya bunge
Kwanza niseme serikali imayakubali na niwapongeze waheshimiwa wabunge. Nashukuru kamati ya bunge chini ya Zitto na Filikunjombe, watu wa upinzani kufanya yale maamuzi yao, kwamba CCM ni mafisadi. Ni kweli watu hawa wanatoka CCM ila sio kwamba CCM inaridhia. Ntashangaa mbunge kulipinga hili eti kisa tu yuko CCM, bunge wengi ni CCM, kama ni kweli walikuwa hawataki hakuna azimio lingepita? Na kuna baadhi ya wabunge wa CCM waliudhika na maovu haya, wenzetu wanatafuta sifa laini kwa jambo ambalo ni letu sote.
Niwahakikishie mimi na wenzangu serikalini hatuna upungufu wa dhamira katika kutimiza maazimio ya bunge.
Kutaifisha mitambo ya IPTL, tunahimiza sekta binafsi kuwekeza, tunapotaifisha habari tunayopeleka si nzuri, sisi tuliotaifisha mwanzo siku hizi tunasema hatuna sera ya ujamaa hivyo waje kuwekeza. Watasema wale jamaa wamerudia tena wanataifisha. Mahakama imefanya maamuzi kwa IPTL, kwanza waibadili mitambo yao ibadili itumie gas badala ya mafuta, tukiyafatilia yanaweza kutufikisha mahali. Haya ya kutaifisha yananipa wasiwasi
Kuhusu uwazi wa mikataba na mapitio, tutafanya na lipo moja tutafanya kuhusu usiri wao wa biashara, kuweka wazi zinaweza kutumiwa na wapinzani wa kibiashara, hivyo tutaangalia namna ya kulifanya.
TAKUKURU na jeshi la usalama vichukue hatua, nimeshaeleza hatua zinaendelea.
Kamati za bunge kuwavua nyadhifa wenyeviti wa kamati za bunge
Raisi aunde tume ya kijaji kuwachunguza majaji(Mujulizi na Lwangisa), nimelipokea lakini utaratibu wa kisheria kushughulikia linatakiwa lianzie kwenye mahakama na sio linaanzia kwa rais au bunge. Mahakama inaporidhika amepoteza sifa, inaletwa kwa rais maana ndie anaeteua majaji. Lazima kushirikiana na muhumili wenyewe. Nilichosema tumwachie jaji mkuu na wakiridhika watakuja kwa raisi endapo wataridhika wahusika wamekosa sifa.
Kuhusu mabenki kuwekwa kama zinatakatisha fedha, pendekezo uchunguzi ufanyike ni pendekezo zuri na intelligence unit ndio watakaofatilia
Serikali iandae muswada wa sheria ulioleta TAKUKURU, ni wazo zuri, Mchakato wa kufanya mageuzi TAKUKURU tumeuanza tangu 2008. Sheria ya kwanza ya PCCB ilikua na makosa manne tu ya rushwa tukayaongeza mpaka 24.
Kuhusu watu kuwawajibisha, bodi ya TANESCO bahati nzuri imemaliza muda wake na tumeanza mchakato wa bodi, na tutaipata siku chache zijazo.
Katibu mkuu wa wizara ni mtumishi wa umma, hivyo kuna taratibu na nimeshaagiza zianze.
Mwanasheria mkuu wa serikali ameshajiuzulu na amesema amebeba dhamana hio pia kwa niaba ya waliojiuzulu.
Waziri wa ardhi, tumekaa nae na kuzungumza. Pesa hizi ni za nini na kwa ajili gani na amesema ni za shule, mengi yameelezwa. Maswali makubwa kwa nini hazijaenda shuleni moja kwa moja na zikawa kwa jina lake, akasema ndo masharti ya mtoaji, tumelitafakari sana na tumeona msingi mkubwa wa kimaadili kuhusu kupokea hizi pesa, tumeshazungumza nae na tumemwambia atupe nafasi tumteue mwingine.
Waziri wa nishati na madini tumemuweka kiporo, kuna uchunguzi nimeagiza ufanywe na nikipata majibu nitafanya uamuzi, tume ya maadili pia wanafanya kwa ajili ya kupata maamuzi kwa misingi ya haki.
NDIO MWANZO NA MWISHO WA HOTUBA YANGU NDEFU
==============
Baada ya Shughuli Maalum ya Rais Kikwete na Waandishi wa Habari, ataelekea kwenye Ukumbi wa The Aga Khan Dimond Jubilee Hall. Kwenye huu ukumbi Diamond maandalizi yanaendelea na Wazee wanaendelea kuingia. Ulinzi ni Mkali kwani kila Mzee anakaguliwa. Waandishi wa habari wapo wanaendela kuset Mitambo.
Hili ni gari la Matangazo ya TBC1wakiendelea kufunga mitambo yao, hii inamaanisha habari itarushwa moja kwa moja.
Wazee wakiwa wamepanga foleni tayari kwa kuingia Ukumbini. Kule mbele kwenye alama Nyeupe ni sehemu ya ukaguzi. Unakaguliwa kabla ya kwenda kuketi.
Hii ni moja ya Vipeperushi vya Ukumbini. Vilevile vipeperushi hivi vimegawiwa Kwa Watu walio hudhulia.
Muhongo ndani ya nyumba
Wazee wakiwa wanamsubiria Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Tutaendelea kujuzana hapa hapa JamiiForums kinachojiri Kwenye huu ukumbi wa Diamond. Rais anatarajiwa kuingia ukumbini saa Kumi kamili Alasiri.
TBC1 ipo hewani live sasa
Friday, 19 December 2014
Welcome To My Blog!
My name is Amor Jullie
Nice that you’re here. This is my personal blog and I post about things I
do and I am interested in. Not regularly. If you have any questions I
am happy you get in touch with me. Please see the get in touch page.
Work
After having had a very cool time at Good Dream Entertainment from September 2011 to December 2013, I am now working at SFGTechnology with a great team. We are developing high Creative Design's , Email Hosting, Corporate Identity, Advertise of Our Artist Snipperz Tz and Musics, Photographer, Video, Still picture, Video Shooting, Security System and Print Media Advertising. Also we are Design Websites especially for direct Client and the Worldwide.
Subscribe to:
Comments (Atom)


